Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, March 9, 2010

KUNA MTU LEO KARUSHA COMMENT KWAMBA NNA SURA YA KIZEZETA...,NIKIONGEAGA KUHUSU HATERS MNADHANI NAPENDA TU KUONGEA..,AHSANTE NDO MUNGU KANIPA SURA HII

19 comments:

Anonymous said...

nuru ignore this hater cos i see unampaa kichwa.try kukaa kimya na usiweeke comment zake.stupid pipo.akitaka si afungue blog yake aanze nae kutukana watu.kuna watu kila siku kukicha anatakata kutibua watu.wewe ni mzuri kinyama.naona unaonewa wivu bibie.

Yasinta Ngonyani said...

Pole Nuru, hapa duniani kuna watu wa aina mbalimbali. Msamehe ndugu yangu.

Anonymous said...

NURU YOU ARE A BEAUTIFUL PERSON, YOU HAVE A STRONG CHARACTERISTIC BEAUTY.
IT'S WHAT IS INSIDE THAT MAKES YOU WHAT YOU ARE SO THE PERSON CALLING YOU KIZEZETA SHE MUST HAVE FIRST FELT KIZEZETA HER SELF. WE LOVE YOU NURU
MDAU FINLAND

Anonymous said...

ACHANA NAO MAMII UR BEAUTIFUL, HAWT,SEXY AND ALL OF THE ABOVE WENGINE WANAKAA WAKIWISH KUWA KAMA WEWE...

Anonymous said...

mpenzi dont waste ur time on them haters..kwa maana tungekuwa watu wote duniani tunaona sawa kweli pangeboa na isingewezekana japo kuna ambao wanavuka mipaka na kuingilia kazi za Mungu ila do u really care?i knw deep down u dont we wapotezee tu wabongo tunachuki roho za korosho nyeusi tiii ni ukweli nasema kabisa so wewe pigana mama never let anyone bring u down

MDAU WAKO MKUU

Faith S Hilary said...

Mijitu mingine mipumbavu eh? Sasa yeye ni perfect sio? si angerusha picha tungeona....watu wengine hoooovyoooooooo!!!! You are such a beauty sis! dnt worry abt dem haters

Anonymous said...

NURU THE LIGHT!! WEWE NIMZURI WAKUZALIWA KWA MAMA YAKO MZAZI,

UYO ANAYE JIONA MZURI AWEKE PICHA ZAKE TU MWONE ISIJE HIKAWA MAZIWA YA

PLASTIKI,MDOMO WA SHINDANO,
NA MATAKO YA KUONGEZA

(HUJAFA HUJAUMBIKA )

NYANI HAONI JI MKUNGU LAKE ANAONA LAMWENZIO UNALO BIBI HUME CHEMSHA!

Anonymous said...

pole sana nuru.unajuwa hata mtume mohamed na yesu hawakukubaliwa na watu wote.wapo waliowakubali na wapo waliowachukia.kwahiyo usiumize kichwa chako kwa maneno yaho.hizo ni chuki tu.mimi binafsi nakukubali hile mbaya.mimi mdau wako no 1.mubarak

Anonymous said...

mmh have never comment kwenye hii blog lakini imenisikitisha sana mtu kusema hivyo,hata kama ni hater huyo mtu hana akili na kama ni mwanamke ni kwamba HUSITUKANE UZAZI WAKATI UZAZI UNGALIPO,pole mwaya mdharau tu huyo mtu

Anonymous said...

Genuinely speaking...I think you have helped him/her in fueling&spreading his/her message of hate.In this world there are so many low lifes...they have tried so hard to be somebody but the have not achieved.So...If you have managed to achieve even a quarter of what they have been trying so hard to do...They willdo whatever they can to pull you down.Don't mind them,focus on you goals...Only the sky is the limit.And plse don't even mention what they say...They have no contribution whatsoever in your life.What is it to them how you look?The people who care for you wouldn't mind how you look.The ones who matter would.Keep up your spirit.

Anonymous said...

Sikiliza pole sana Nuru and the good thing about you is that you speak ur mind which I like na kweli uwashushue na uwawekee tuwe tunawapashua hapa hapa.Nakubaliana na mdau aliyesema HUJAFFA HUJAUMBIKA.Pia weka picha yako basi ili tukuone kama na sisi hatujakuita maneno ya ajabu usifikiri kusema wenzio ni vizuri ati!Nuru you are beautiful wewe ni mzuri from top to the bottom and no one can ever let you doubt that!
Number One Fan,
Sara.

Sab said...

Nuru ukiona ivyo uyo mtu anatamani kuwa kama wewe sema afanyeje ajapata iyo nafasi.kwenye dunia lazima ukutane na watu kama hao sio wote watakaokupenda mpendwa wangu ila kuna wachache wanaokupenda na kukuunga mkono.love u my Nuruuu.

Anonymous said...

Ulisemwa toka hujazaliwa.
-eeeh mbona hajazaa au uzazi umekataa?
-eh namuona kama ana mimba vile?
-eh sijui atazaa wa kike / kiume?
-eh kanenepa atazaa mtoto mneneee
-eh mbona kaharibika hivyo? hicho kitoto kitakuwa kisirani kweli.
-haya ngoja tuone sasa nadhani siku zinakaribia.
-eh kumbe wa kike, mh mmekiona kichwa?
-eh kitoto kinaanza kuwa cheusi au baadaye atapata rangi.

Ili mradi binadamu ndiyo hivyo.
Achana nao, wamekosa bahati hao, wanahangaika kutafuta ujiko kupitia bahati za wenzao.

hahhahahahahahah
Wanabahati ya Mtende kuotea Jangwani? AU
Wanabahati ya Msikiti, utaingia hata ukiwa maiti.


HUSDA TUUUUUUU


disminder.

NURU THE LIGHT said...

WADAU AHSANTENI SANAAAAAAAAAA..NASHKURU KWA KUCHANGIA MADA NA KAMA NILIVYOSEMA I LOVE THE WAY I LOOK MAANA NDIVYO HOW GOD CREATED ME EVERY INCH WITH LOVE FROM HIM SO I AM FOREVER GRATEFUL..,MWAAAAAAAAAH TO ALL YALL

Anonymous said...

hello nuru mimi ni mara tya kwanza ku comment here but ni bonge la mdau wako,
wewe ni mzuri huyo aliyekuambia hivyo ana wish kuwa kama wewe

judith

Juce said...

As long as u r happy, satisfied with ya life & how U look who cares if u look like zezete, kiwete, mnene or else. I just pray & I mean I will pray hard that aliyeandika azae mtoto zezete to teach her/him a lesson. I also hope he/she dies of rectal cancer with mouth oppen!!

Anonymous said...

Ukiwa na blog hii ndio kero yake Nuru one thing igoner them maana kuna watu wenye akili fupi na hawana kazi+ wanawivu end of story. u know who u are just be happy !

Anonymous said...

hata mimi leo nachangia, haki nimependa sana ulivyowashushua halafu kuna huyu mdau, ananikosha sana. Tafadhali Nuru nitumie picha yake. maneno yake mazito na nimeyapenda sana kwani ni ukweli tupu. kweli HUSDA.

1. HERI KUKATWA NA BATI utatibiwa KULIKO KUKOSA BAHATI.
2. BAHATI YA MTENDE KUOTEA JANGWANI
3. BAHATI YA MSIKITI KUINGIA HATA UKIWA MAITI.

WE LOVE YOU NURU

Claire USA.

Anonymous said...

who is this waste of space, self-critical moron who thinks she/he cn get sum attention by kutusi wenzake??bloody hell..nuru u r very beautiful and we dont need to tel u coz unajijua na pia unaconfidence yako there u have it..luv u

MDAU WAKO MKUU