Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, February 16, 2010

TODAY I WANNA TALK ABOUT SISTERHOOD,SISTERHOOD IS ABOUT SUPPORTING,LOVING AND BEING THERE FOR YOUR FELLOW SISTER.I love you SYLVIA AND MISS U MUCH.


ZEZE UNAONA ILE CKU NILITINGA SEA BLUE YANGU LAKIN NDO NANILIII...,

THE LIGHT WITH MA GIRL SYLVIA SHALLY...,

MWANAMKE JICHO NA SYLVIA ANALOOO.,AT THAI VILLAGE WITH MACHOZI BAND..,




12 comments:

Anonymous said...

Sylivia was supposed 2 be MISS TZ 2009!

Anonymous said...

Nuru!! Hiyo rangi ya nguo na hizo mixx? KWELI MWANAMKE FASHION.

ULIBAMBA BABY



disminder

NURU THE LIGHT said...

ahsante disminder n am sure god has plans for her coz shes doing good even though alichukua nafasi ya pili...,

mg said...

Nuru dia kama itawezekana tafadhali topic zako zingine ziwe za lugha yetu. Samahani kama nakuingilia kwenye blog yako.

mg

Anonymous said...

for sure!


disminder

NURU THE LIGHT said...

mg nakuelewa na wala hamna shida ni idea ulikuwa nayo na umeshare wala usijiskie vibaya..,kuna topic ambazo ntakuwa naandika tu kiswahili lakini topic nyengine napenda wanawake wote duniani waweze kuchangia mada kama sisterhood na selfconfidence maana ni issues ambazo all women goes through

Anonymous said...

Yes Indeed! kwani kuna wakati mwengine unachapia sana dear...mno yaani inasomeka kama kiswanglish!Najua Kizungu sio lugha yetu lakini duh! Huwa akieleweki kabisa!
Mie ni mpenzi sana wa hii blog so please usinitolee macho tu sister!
Anitha

Anonymous said...

Mh!!!uko ulimwengu gani baby!!
Siku hizi kuna street languages!!
na huku kuna wakati zinapendeza. (kwa mtazamo wangu)
hata akichapia si mnaelewa? naye binadamu huyo, na makosa tumeumbiwa sisi.


disminder

Anonymous said...

kwa kifupi kingereza chako cha kanumba kabisaaaa... unajitahidi lakini punguza kusifia watu, its boring ..

shamim a.k.a Zeze said...

Ohoo atlist leo umejieleza kumbe ulikuwa ushajiandaa kabisaa then ukapotea njia...wink ulipendeza ulikuwa na mpango wakuja mfunika mwali wetu nini?? lol

NURU THE LIGHT said...

shamim hahahha hapana yaa yaani nilikuwa nishajiandaaa mamii basi tu..,

Anonymous said...

WAKAANGA SUMU HAOOOO. WAMESHAHAMIA PANDE HII.

BINADAMU KWELI MZITO


disminder.