Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Thursday, February 18, 2010

IV GOT MY LEOPARD LEGGINGS ON AND READY TO ATTACK THE MEAT AT DIVAS BBQ PARTY, AHSANTE DIVA TULIENJOY SANAA.


GOING TO SALOMES FAREWELL DINNER AT BILLIONAIRES CLUB...,I RECOMMEND IT HIGHLY.








16 comments:

Jestina George said...

KEEP REPRESENTING HUN, U LOOK GORGEOUS AS USUAL. MUCH LUV.

NURU THE LIGHT said...

THANKS YAANI SASA HIVI NIMETOKA ON UR BLOG...,

Yasinta Ngonyani said...

Umependeza kweli Nuru au niseme unaendelea kupendeza kila siku inappanza na kwisha.

Anonymous said...

BABY NOW YOU'RE KILLING!!
I TOLD YOU! ALWAYS LOOKS FAB!!


disminder.

Sab said...

Nimekupenda u luk like princess waaaau jamani mi niko kwenye mazoezi na diet ili nipungue ila nikifika ulipo lazima watu wanipeleke hospitali ha ha ah napenda sana umbo lako Nuru jamani ivi unafanyaje nipe siri ya mafanikio ya kuonekana mrembo ivyo

Anonymous said...

nuru jaman unanunuaga wapi top zako.?napenda sana ue dress code.mi huwa sivai sleeve less so huwa napenda sana outfit zako

Interestedtips said...

Duh Nuru hizo pamba niazime nitoke nazo ofisini, ni kama unaenda ofini, umependeza to be honest

Anonymous said...

Nuru ma dia i love way unapangilia nguo duh unanikuna keeep it up cute.Sashaleyla

NURU THE LIGHT said...

SHASHALEYLA,DISMINDER,ESTER ULAYA N THE ANONYS THANK U SO MUCH FOR UR LOVELY WORDS...,ESTER SKETI NILINUNUA MANGO NA TOP NILINUNUA ZARA LAKINI HIZI PAMBA UNAPATA BONGO BILA SHIDA MAANA MAMBO NIMEYAONA MWENYEWE BONGO..
SAB FANYA MAZOEZI LAKINI MAMA KULA VIZURI NA KUFANYA MAZOEZI USIFANYE DIET HUWA INAFANYA KAZI KWA MUDA BUT THEN U GAIN BACK THE WEIGHT..,JUST TRY TO EAT RITE NA MIDA INAYOTAKIWA NA MAZOEZI HUWA INATOSHA ILA USIJINYIME.

Anonymous said...

haya shosti njoo kwangu nikupe zoezi la kupanda ngazi!!


disminder.

Anonymous said...

i love the leopards print leggings! you look great

NURU THE LIGHT said...

thanks anony...,

Eva James said...

umependeza sanaa.. the light:)

EDNA said...

So clean, so fresh, umependaza mwaego Kama kawaida yako hubahatishi.

NURU THE LIGHT said...

ahsante edna nashkuru...,

Anonymous said...

Nuru weka basi pica za diva's bbq na sisi pia tu faidi au siyo