Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Sunday, August 30, 2009

TEDDY KALONGAS FOR Z-HOVAK DESIGNS LOOKBOOK....,KEEP ON REPPIN MALKIA


FIERCEEEEEEEEEEEEEEE........,

I AM SO GONNA BUY THESE CHAIN JEANSSSSSSSSSS.......,











5 comments:

Anonymous said...

This is wow! bora afanye modeling jamani yale mambo ya kutangaza sijui strik sijui is NONONOOOO

NURU THE LIGHT said...

YOTE TEDDY ANAYOFANYA NI SAWA NA AT THE END OF THE DAY NI MAISHA YAKE SO WATEVER SHE CHOOSE ITS FINE BY HER NA MUMEWE..,TUJIFUNZE KUSIFIA WATU WANAOTAFUTA NA KUTAKA MAENDELEO KWENYE MAISHA YAO..,THAT WAS A PHOTOSHOOT FOR A TV GIG AND NOT MORE THAN THAT NA TEDDY IS A GOOD TV PRESENTER TOKEA TANZANIA KWANINI ASITAFUTE KUFANYA HIVYO PIA HOLLYWOOD...,HII COMMENT SIO KWA WEWE ANONY HAPO JUU ILA WALE WOTE WALIONITUMIA COMMENTS ZA KIJINGA KUHUSUIANA NA PHOTOSHOOT YAKE B4 THIS.,WATANZANIA WENZANGU ACHENI UJINGA NA KASHFA ZA KIJINGA NA ANZENI KUPENDANA NA KUSHIRIKIANA..,AHSANTE

Anonymous said...

Ok Nuru we got U baby!!!WaTz wengi ni "wanafiki" sometimes wanaeza kukupa sifa zisizo za ukweli au wakakuponda ingawa hata hakujui!!! But ktk maisha ya binadam kuna njia mbili za judgments positive and negative. If it is positive,shukuru Mungu na hata kama ni negative pia shukuru na waache hao wanozitoa wapigwe butwaa. I like Teddy so much I used to work with her under Mengi Company (though did care about other workers) but I do not care abot that!I wish her all the best for whatever she does cause it's her life....
People wana wivu wengi hutamani kuwa kama wengine which is not easy.

Please usinibanie hii Nuru the light.

Mdau, US

Lucy said...

Watanzania wenzangu, hebu tujaribu kidogo kuwa na roho ya ubinadamu pale tunapotoa maoni (comments ) juu ya wenzetu fikiria kwamba huyo unae mtolea comment mbaya ni mwanao, kaka /dada yako, kwanini watanzania tunakuwa na roho ya wivu kiasi hicho kwanini hatukubali maendeleo ya watanzania wenzetu? Kwanini tusiwa-support kwa kile wanachokifanya siku zote tumekuwa tukitoa maoni mabaya juu yao bila hata sababu ila ni wivu na chuki kila mtu anachukiwa jamani ni nani atatolewa maoni mazuri? mtu akifa ndio hupewa sifa nzuri ila akiwa hai anapewa sifa mbaya na maoni mabaya juu yake tena anatungiwa story za mambo ambayo hata hajawahi fanya . tunakosa upendo sisi kwa sisi tunawachukia watu bila hata sababu eti kwa vile wanavipaji au maendeleo, chuki zitatufikisha wapi ndugu zangu hatupati chochote kwa chuki zetu zaidi tunajipunguzia siku za kuishi kwa kuhifadhi chuki ndani yetu, hakuna mtu aliye mkamilifu katika ulimwengu huu hata wewe unaetoa comment mbaya juu ya wenzio una mapungufu kibao likiwemo hilo kuandika maoni mabaya ila ni rahisi sana kuona udhaifu wa mtu mwingine wewe mwenyewe hujioni kwakufikiria kwamba upo sawa huna pungufu hata moja unakosea sana. Hebu tujaribu kuwa waungwana kidogo tuwe na roho za utu na tuwa-support wenzetu sio kuwakandamiza wanapotoa habari zao katika blog sio kwamba wanatafuta umaarufu au wanauza sura kama baadhi ya watu walivyozoea kusema wanacho tafuta ni ushirikiano wenu. Ni vema kutoa maoni na kila mtu ana haki ya kuongea lakini haki hiyo isivuke mipaka kuna njia nyingi njema za kutoa maoni kama vile kumshauri mtu kwa wema sio kumponda tujaribu kuwa wastaarabu katika maoni yetu tutoe maoni yanayo jenga sio kubomoa pia tujali utu chuki na wivu havijengi ndugu zangu, na wala hatutapata chochote kwa kuendeleza chuki na wivu lakini ushirikiano unaongeza swawabu na maendeleo. maendeleo haya letwi na chuki na wivu.
Hivyo ndugu zangu tushirikiane na wenzetu kwa wema na sio chuki kwani kuendelea kwa jamii ya nchi yetu kunahitaji upendo, amani na ushirikiano na Mtanzania mmoja anapoendelea ni maendeleo kwa watanzania wote.
UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFU NA CHUKI HAIMJENGI MTU BALI INAUA
Teddy Kalonga, Nuru (the light) na wengine wote mnao tuwakilisha watanzania hongereni na mungu awaepushe na wote wenye roho mbaya juu yenu vipaji mnavyo na tunaona.

NURU THE LIGHT said...

AHSANTE SANA LUCY TUNASHKURU KWA MANENO YAKO...,GOD BLESS U