Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, March 24, 2009

the song is called "usiende mbali "

4 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Huu wimbo nilivyokuwa nyumbani mwezi uliopita kakazangu waliniambia niusikilize tangu hapo umekuwa wimbo wangu. Naupenda sanaaaaa.

Anonymous said...

nuru mpenzi hasanteeee huu mwimbo nilipokuwa mwaka jana tz nikausikia kwenye redio tena ilikuwa imebaki siku chache niondoke najaribu kuwauliza watu nani kauimba hakunamtu anajua kwani wakati nausikia kweye radio nilikuwepo peke yangu sasa najaribu kuwaimbia wasikilize tune hakuna mtu anayeujua nafikiri nilitoa tune isiyoyenyewe unajua tena sina kipaji cha kuimba mpaka sasa upo kichwani ila sijui nani kaimba wala sijui maneno yake zaidi ya kiitikio ndio sasa hivi nausikiliza hapa na sasa najua ni nani kaimba jamani hasanteeeeeeee
naupenda sana huu mwimboo

NURU THE LIGHT said...

namimi pia naupenda sana nazijua hizo za kuimba off tune halafu watu wamekaa makini wanaskiliza huku wee unajikaza kuimba but no one still hawezi kukujibu ni nyimbo gani...am glad u finally got the answer

Unknown said...

My sis' looooooove this song.