Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, May 1, 2015

VOILA!!!






HAPPENING NOW!!!


ALLY REMTULLAH WITH HIS GIRLS,,

NAONA BEEF LIMEISHA,,
FAIZA ALLY,,
RACHEL NA LAMECK DITTO,,
RAY VINCENT KIGOSI,HARTMAN,STEVEN NYERERE
NAY WA MITEGO,,
 kama huddah kavaa hivi a very big dissapointment,,ama do the redcarpet jumatatuuuuuuuuuu!!!



 INTERVIEWING RUBBY,,
 INTERVIEWING PAUL MAKONDA,,
 SADEE,LAMAR,TID AND MILLARD AYO,,

JIHAN INTERVIEWING RACHEL,,
ohhh HE DON DID IT AGAIN,,,,

WEMA SEPETU IS OFFICIALLY A MRS TO MR X!!!!


Staa wa filamu za Kibongo,Wema Sepetu amekiri kufunga ndoa bomani hivi karibuni ambayo ilihudhuliwa na watu wachache. Akizungumza na Clouds FM alisema kuwa aliamua kufunga ndoa ya siri kwa kuogopa kupigwa 'juju' na mumewe angeshindwa kumuoa.


‘’Mume wangu ni Mtanzania na siyo maarufu na ndoa yangu ilihudhuliwa na ndugu zangu wachache na ndugu wa mume wangu sikutaka watu wengi niliogopa kupigwa juju na mume wangu asingenioa,’’alisema Wema.

kwenye kipindi cha you heard TUMEMSKIA Wema Sepetu akisema kuwa alifunga ndoa na mr x bomani KWAVILE MR X NI MKRISTO na wakaenda Double Tree after na MR X wil remain MR X until aamue kujulikana,ALL THE BEST TO YOU BOTH!!

ANDREW!!!


CHOZI LA SITTI MTEMVU!!!




ONE SHADE OF GREY!!!











KIJIJINI KUNA RAHA YAKE ASIKWAMBIE MTU YAANI PATAM SANA,,
HAVE A GREAT WEEKEND FOLKS!!!

ZARI SAID!!!

"A.s.s and back waist flani ivy amazing.... mama k be hot for days, not even pregnancy is taking the fabness away... blessed. Thank you Lord"-Zari

Thursday, April 30, 2015

PRESIDENT CLINTON VISITED THE CLINTON DEVELOPMENT INITIATIVE!S NGONGWA ANCHOR FARM IN LUGALO VILLAGE IN IRINGA REGION!!




On April 29, President Clinton visited the Clinton Development Initiative’s Ngongwa Anchor Farm in Lugalo Village, Iringa Region, Tanzania.