Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Tuesday, January 24, 2017

WHY SO SUPRISED?


Wakati wa Uchaguzi Jokate hakuwa muongeaji but Vitendo vyake vilikuwa wazi,,
Nawashangaa leo mnaongea sana wakati during ya uchaguzi huyu binti alikuwepo kwenye  a couple of the meeting au kampeni sasa leo inakuwaje mnashtuka?
Siku Wolper a.k.a Yuda anarudi CCM nani alikuwa stejini pia au macho yenu haya kumuona?
At times mnachoose  kutizama upande wa pili wakati jibu liko machoni MWENU, ,
At times mnachoose kufuMBA macho kwavile ukweli ni mzigo mzito kuubeba,,
At times mnachoose kukiona kile mnataka kwa mda ULE bila kufikiria mbele..
Are you all that Stupid au you choose STUPIDITY over the Reality and The Truth?
Hamumuoni huyu binti jinsi mambo mengi yake WAHESHIMIWA wapo hamjiulizi WHY?
Jokate has always been open about chama gani yupo na aliandika makala even after ya uchaguzi so why all the noise all of a sudden?
My time here in Tanzania has taught me kuwa mnapenda sana kudangangwa na mnaweka uwongo mbele zaidi ya ukweli because its convinient.
IFIKE mda MUANZE kuwa wa kweli, mkubali ukweli na KUHESHIM maamuzi ya watu hata kama haupendezwi nayo,nimemaliza.com!


1 comment:

Bintinyota said...

Tena wakome lol!!! WAo ccm wakujificha mxxxc