Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Wednesday, November 11, 2015

ADUI WA AFRICA NI MWAFRIKA NA MKOMBOZI WA AFRICA NI MWAFRIKA!!


Kuna vitu huwa vinatia hasira ila unajikuta kuwa hizo hasira is for nothing maana suluhisho sio kama halipo Bali halikuwa prioritised because lilikuwa linabenefit watu maalum,,
SASA KESI YA HIZI MRI KUWA HAZIJATENGENEZWA MUHIMBILI KWA MDA WA MIEZI AND THEN JANA AU JUZI RAIS KUFANYA A SUPRISE VISIT KITU KIMEWEZA KUFANYIKA WITHIN 2DAYS ONLY MAANA YAKE NI KWAMBA INAWEZEKANA,,
FOR 2 MONTHS WATU MMEWATESA WEEE KWA KITU AMBACHO PRIVATE HOSPITALS WANA PROFIT ALOT OF MONEY,,,
HIVI HUYU BABA MAGUFULI AKIKIMBIA KILA SEHEMU SI MNAMCHOSHA TU SIKU SI ZAKE,,
KUNA VITU VINACHELEWESHWA NA BINADAMU DUNIANI AMBAVYO VINGEFANYA TAIFA LIWE MBALI LAKINI WAPI?

KWA MDA WA MIEZI MIWILI WANGAPI WAMEPOTEZA MAISHA YAO KWASABABU YA UZEMBE HUU,,
LINI MTAJIFUNZA KUWAJIBIKA IPASAVYO AND FOR GODS SAKE YOU TOOK AN OATH KUOKOA MAISHA DOESNT THAT MEAN SOMETHING?
NA HII NI KWA WATU SEKTA ZOTEEEE SIO TU HOSPITALINI MAANA KUNA WATU WAKO MAOFISINI ANANATA UTAFIKIRI HAJAAJIRIWA NA KUKUFANYIA ANAONA THEY ARE DOING YOU A FAVOR KUMBE NDIO KAZI YAKE,,BADILIKENI!
HAWEZI MMOJA KUBADILIKA WENGINE BADO VILE VILE THIS HAS TO BE DONE COLLECTIVELY,,

4 comments:

Anonymous said...

Only way to I still sense in this is for those who over the last two months first visited Muhimbili only to be asked to go to private hospitals and those who it can be proved lost their lives due to such delays file a law suit against the ministry. Any money that gets paid out in compensation should be crawled back from benefits entitlements for the management and health teams. With that compensation cloud hanging over them I trust huu ujinga utarusha kabisa.

Blenderfan

Anonymous said...

Yani huyu baba magufuli Mwenyezi Mungu tu amuweke. Maana ametupa km zawadi watz. Mi naamini watanyooka tu wafanyakazi wa umma. Maana wanauzi balaa. Unaenda kupata huduma mty anakuacha hapo eti anaenda kunywa chai. Hivi tz chai hazinywei ofisini mtu mpaka atoke nje ya jengo kutafuta chai tu??? Kila ofisi ya serikali ukiingia kuna mtu katoka kenda kunywa chai tena muda mrefu tu.

Anonymous said...

I saw a clip of the president visiting the hospital sad to see how doctors would sabotage a machine just so patients have to go to a private clinic!

Anonymous said...

Tunamwombea Magufuli Rais wetu nguvu na kumwepushilia balaa kwa wale walio na hila mbaya naye,
Kweli hili ni chaguo la Mungu, na kapakwa mafuta na Mungu mwenyewe, kweli Tanzania yetu bado Mungu anatupenda
Washidwe hao wachache wenye uchu wa madaraka na ukabilia na udini.
Amen