Akiwa hai walikuwa hawataki kumsikia akililia Tanganyika YETU leo wamepamba jeneza lake na Bendera ya Tanganyika... Kwanini tukiwa hai hatupewi heshima hizi na haki zetu, maana alikuwa anaongea ukweli na kuomba haki yetu, na hii kuweka bendera ya Tanganyika ni ushindi mkubwa kwa Watanganyika... Viva Tanganyika, Viva Mtikila
1 comment:
Akiwa hai walikuwa hawataki kumsikia akililia Tanganyika YETU leo wamepamba jeneza lake na Bendera ya Tanganyika... Kwanini tukiwa hai hatupewi heshima hizi na haki zetu, maana alikuwa anaongea ukweli na kuomba haki yetu, na hii kuweka bendera ya Tanganyika ni ushindi mkubwa kwa Watanganyika... Viva Tanganyika, Viva Mtikila
Post a Comment