Genuine Nordic Vodka

Genuine Nordic Vodka

Friday, October 24, 2014

FROM ABEL:UKISTAAJABU YA SITTI MTEMVU,,,,


Hii nchi haiishi maajabu, 
Katika kuagiza chapati uswahili kwetu nimekuta nafungiwa kwa kutumia hii form ya Angaza kutoka mkoa wa Rukwa, Sumbawanga, ikiwa na majina yote ya muhusika na majibu yake ya HIV.
Na mama muuza alikuwa na kitabu kizima, achilia baba muuza samaki nae alikuwa na kitabu chake.
JAMANI, HIVI HUU NDIO USIRI WANAOTANGAZA UPO KATIKA UPIMAJI WA HIYARI? KIUFUPI NIMESIKITIKA SANA, NAONA HAIJAKAA KIMAADILI, CJUI WENZANGU MWASEMAJE? IMENIUMA SANA!

8 comments:

Anonymous said...

KWA KWELI NI MBAYA SANA HAKUNA SIRI TENA TUNADANGANYANA TU

Anonymous said...

Da nuru hii nchi inapoendea n shidaaa kla KTU n majanga mwe

Anonymous said...

Pia ni uchafu wa hali ya juu!! Hivi hicho cheti ina maana kimetoka kwenye mazingira ya hospital, tena maabara au records. Inasikitisha. Ndio maana magonjwa ya kuhara hayaishi.

Anonymous said...

Sio kitu kizuri kwa afya maana mpaka kumfikia aliyefungikiwa chakula inakuwa imepita kwa watu wengi na mazingira tofautitofauti...suala la jina la mtu nakumbuka angaza ilikuwa kwamba huandiki jina lako halisi..unaandika jina lolote ili wakati wa kuchukua majibu watu wasijue jina lako halisi maana mnakuwa kwenye chumba kimoja watu wengi mnaokuwa mnaaubiri majibu.

Anonymous said...

Hmm. Nimechekaje sasa. Naona nchi imetushinda sisi wenyewe kujingoza, sasa hizo details zote zipo adhalani

NURU THE LIGHT said...



YAANI HUJI UCHEKE AU ULIE SASA KITABU KIZIMA HUKO HOSPITAL HATUJUI KIMESHIKWA NA WANGAPI KWELI MAZINGIRA NI KITU MUHIM SANA HALAFU NIMEGUNDUA HII NCHI HAMNA SIRI NA BLOGS ZINAONYESHA HILO KILA SIKU MTU ANAKWAMBIA NAOMBA FILE LA HUYU REALLY,MWENGINE HATA HAJAULIZWA ANAONGEA YA MWENZAKE NA WENGINE ANAKUONGELEA KAMA VILE ANAKUJUA KUMBE KASOMA TUU KUHUSU WEWE,,NCHI ISOKUWA NA SIRI,ISIYOJUA KUTUNZA SIRI SAYS ALOT ABOUT ITS CHARACTER NA WATU WAKE!!!

Anonymous said...

Heee!!! Sasa na hayo makaratasi si ya hospital. Alafu yanaletwa kufungua vyakula. Ndio afya hiyo. Mhhh kama virus vya ebola washavieneza kwa njia hiyo pia. Atuzingatii afya yaonekana. Si dhani bongo watu wanatabia ya kunawa mikono. Makaratasi yanatoka hospital yanafungiwa vyakula. Wakati huo hospital ndio kwenye mlipuko wa magonjwa kibao. Maanake wagonjwa wote wapo hapo.

Anonymous said...

na vipi hizo records wanazojitia wanazihifadh? mxxxxxxxxxxx