Genuine Nordic Vodka
Showing posts with label Teams. Show all posts
Showing posts with label Teams. Show all posts
Friday, May 27, 2016
Thursday, May 19, 2016
THIS IS SO WRONG IN SO MANY LEVELS!!!
Sasa mkianza kuwatakia malaika vifo huo ndio ushabiki au mapenzi kwa mtu mnaye penda?
Kuna wakati unafika muwe na busara this is very wrong na nimefurahi kuona Wema kawajibu kuwa sio kitu sahihi,,
Teams jaribuni kuwapenda na kuwasupport wasanii but msifikie mipaka mpaka kuwatakia watu vifo,,really!
Leo for example wote kama Tanzania tulitakiwa tumcelebrate Alikiba kwa kilichotokea kama vile wakati Rose Muhando na Nakaaya walivyosainiwa Sony
Diamond akirudi huwa wote tunajivunia kwa tuzo zake mwisho wa siku you are all Tanzanians jamani take PRIDE in that and support the music,movie,tourism but Most importantly be a good ambassador for your Country,nimemaliza.com!
Subscribe to:
Posts (Atom)


