Monday, July 3, 2017

Yaliyojiri!!!








4 comments:

  1. HAHAAH RAY KIGOSI haya baba tumekuelewa

    ReplyDelete
  2. hahahhahah!!!! eti yuko kama mkokoteni wa kubebea kambale jmn jmn watu wana maneno sana
    hahahh!!! Ray unataka kutuambia hata vaseline hujipaki au hata ya nazi MINARA au PARACHUTE? hahahha!!! huu ndio uongo kuufanya kuwa ukweli
    aseme tu na mafuta anayotumia
    wamependeza Ridhiwani na Mkewe,
    mmhhhh!!! mengine no comments mana siyajui undani wake

    kwa hekima ya leo:
    kuna umri ukifika hutakiwi kufanya mambo ya ajabuajabu ambayo yatakupelekea kuwekwa ndani,

    ReplyDelete
  3. Ha Ha ya Ray kiboko haswaaa

    ReplyDelete
  4. Nami naanza mazoezi leo kisha nashushia maji..!mwamini

    ReplyDelete