Nilivyokuwa Bongo nilimuona mara kadhaa na kila nikimuona Nuru siku hizi huniambii uko mjini mtu wangu basi nacheka ananiambia usicheke niko serious dah kweli duniani tunapita tu.
Katika kuchangia huyu kaka kupata jina nimo kabisa na nilifurahi alipokuwa amefika kuwa redioni na with time angefika mbali zaidi.
Umeacha mtoto atakukumbuka sana May you rest in peace Seth Katende.


Jamani!RIP SETH
ReplyDeleteImekuwaje? Yaani nimeshtuka sana May he RIP...CinTea
ReplyDeletejamani Seth aiseeee chozi limenitoka kahhh!!!!
ReplyDeleteeehhhh uwwwiiiii kweli tunapita
R I P Seth,
Ameniuma huyu kaka jamani
ReplyDeletesijawahi kumuona lakini nilikuwa namfuatilia sana
RIP Seth
Dah.....
Shocked, tangulia baba my prayers are with you.
ReplyDeletewhen you see young poeple wanaolelekea kwenye mafanikio wanakufa huwa inakatisha sana tamaaa only God knows
ReplyDeleteInna lilah wainna ilayh rajiuun!mwamini
ReplyDelete