Sunday, July 9, 2017

SETH A.K.A BIKIRA WA KISUKUMA HATUNAYE TENA,RIP BUDDY!!!

Nilivyokuwa Bongo nilimuona mara kadhaa na kila nikimuona Nuru siku hizi huniambii uko mjini mtu wangu basi nacheka ananiambia usicheke niko serious dah kweli duniani tunapita tu.
Katika kuchangia huyu kaka kupata jina nimo kabisa na nilifurahi alipokuwa amefika kuwa redioni na with time angefika mbali zaidi.
Umeacha mtoto atakukumbuka sana May you rest in peace Seth Katende.

7 comments:

  1. Imekuwaje? Yaani nimeshtuka sana May he RIP...CinTea

    ReplyDelete
  2. jamani Seth aiseeee chozi limenitoka kahhh!!!!
    eehhhh uwwwiiiii kweli tunapita
    R I P Seth,

    ReplyDelete
  3. Ameniuma huyu kaka jamani
    sijawahi kumuona lakini nilikuwa namfuatilia sana
    RIP Seth
    Dah.....

    ReplyDelete
  4. Shocked, tangulia baba my prayers are with you.

    ReplyDelete
  5. when you see young poeple wanaolelekea kwenye mafanikio wanakufa huwa inakatisha sana tamaaa only God knows

    ReplyDelete
  6. Inna lilah wainna ilayh rajiuun!mwamini

    ReplyDelete