I laughed out loud kwenye comment ya mashavu, but in all honesty does a man have to do everything for you kama basics anafanya? Kwa dunia ya leo maisha yamekua magumu to leave all the burdens kwa kipato kimmoja ifike mahali tuwaonee huruma wanaume tena yule anaeijali familia vizuriii
Hahahaha I cant sio kwa ushauri nasaha huo,kaficha kisado kwenye mashavu hahahahah
ReplyDeleteha ha some people are total craiz yani haya mambo uyapeleke kwenye mitandao haswaaaaa
ReplyDeleteI laughed out loud kwenye comment ya mashavu, but in all honesty does a man have to do everything for you kama basics anafanya? Kwa dunia ya leo maisha yamekua magumu to leave all the burdens kwa kipato kimmoja ifike mahali tuwaonee huruma wanaume tena yule anaeijali familia vizuriii
ReplyDeleteYaani huyu dada na hizo comments unaona kabisa watanzania wamevurugwa wallah!mwamini
ReplyDeletehahahaah jamani duh nimecheka hizo comment! hivi ukae nyumbani usubirie kuletewa tu huyo bwana hachokiiii?
ReplyDeletehahhahah!!!!!!!!!! siku hiz watu wamepinda kuanzia ndani had nje mana sio kwa maneno haya
ReplyDeletehahahhahahha!!!!!!!!! bongo noma