Thank you My Sarah and I miss you too umenikumbusha Mbali hii siku nilienjoy sana.
Siri yetu huu usiku mpaka Leo only we know hihihi..
The cause was god natt mpaka Leo Khadija Mwanamboka analea hawa watoto.
Kuna watu walikuwa na mbwembwe huu usiku unakumbuka Sarah hahaha kweli mda hutufunza mengi na wamejionea.
Ishi na watu vizuri always especially The ones that knows your value na wanakuappreciate.




mlitokelezea sana nampenda sana huyo mdada
ReplyDeleteTBT ya nguvu nampendaga sana huyo dada
ReplyDeleteSarah is soo cool
ReplyDeleteNuru nahic kama unapenda chuichui kama mimi.mlipendeza sana.
ReplyDeletewatu wametoka mbali jmn
ReplyDeletesarah alikuwa kadg
martin ndio usiseme kahh!!
da nuu yeye ndio english figa jmn
comfort uko sahihi da nuu anapenda chuichui na zinampendeza kweli