Tuesday, May 30, 2017

MAKE TIME FOR PEOPLE WHO WILL DO THE SAME FOR YOU!!!














 MGENI RASMI MJ..,



 Ushawahi vaa nguo ukajihisi huna hata tako lakusingiziwa hahahahah.,I can!t!!





 Half Spanish,Half Tanzanian!!!


KAMANDA SIRRO.,















 Kumekuchaaaa..,



 MJOMBA TORRES..,


THAT!S ALL FOLKS!!!

9 comments:

  1. hahahhahaa!!!!!!!!!!! da nuuu umeniacha hoi kweli
    nimecheka mpk mbavu zauma
    kahh!!!! eti ukajihisiiiii nnini vile ................... hahah!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  2. Hahahaaaaaa,unalo la kukalia tu kwakweli nahiyo nguo nyeusi lo!.

    ReplyDelete
  3. Haaaaaa Waafrika tunapenda matako .
    Dream matako makubwa
    Hivyo Si mind . Mwenye nako hata avae diraa linaonekana

    ReplyDelete
  4. hahaha nimecheka nguo zingine zinaficha shep. ila ujumbe pale juu ndio haswaa umenigusa

    ReplyDelete
  5. umependeza sana i love free dress huwa hazimkatai mtu. amaizing umeonge jambo la maana sana dedicate muda wako kwa watu wanaokujali

    ReplyDelete
  6. Yaa kuna nguo hazikucomplimate vile ulivyo unaweza kujicheka mwenyewe 😃😃😃 au kujikimbia hahaha

    ReplyDelete
  7. Kumbe huyu babu alikuwa mgonjwa?Nilisoma kwako .

    Mzee Francis Kanyasu aliyechora Nembo ya Taifa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa kwenye matibabu Muhimbili Hospital

    ReplyDelete
  8. Ahsante kwa taarifa mdau..
    Thank u wapendwa

    ReplyDelete
  9. Light sasa huyu MJ ndiyo shemela? Hatafuti mchumba?

    Kama nakuona unavyopanua mapafu hapo.

    Muda ni zawad haina kiwango, tuutumie vizuri sana. Ujumbe mzuri

    ReplyDelete