Saturday, May 20, 2017

ELISHA RED LABEL DID THAT!!!




5 comments:

  1. Sinyora sinyorita...mwasi kitoko!mwamini

    ReplyDelete
  2. ameizingiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

    ReplyDelete
  3. kwa kweli yuko vzr sana
    shida ya hawa washonaji ukienda wewe usiojulikana utashonewa kituko balaaa
    mana nilishajaribu kwa mtu fulani mhhmmhhh!!!
    nikabaki nalo moyoni
    afu huwa wanaangalia kama una sura ya pesa hulilili punguzo basi utashonewa vzr
    sasa ole ulie nipunguzie kdg wewe weewewe utajuta ni heri ungepeleka kwa fundi hamisssss wako wa pale kibandani

    afu nauliza tu hawa mastaaa wananunua au wanapewa bure ili atangaze biashara yake????

    ReplyDelete