Thursday, May 4, 2017

Basi Sawa!!!



2 comments:

  1. Hata mie ningempa no yangu anitafute. Shoga angu alikuwa kaolewa na wanawatoto zaid ya 3. mume akawa mzigo hataki kufanya kazi alipata aa tatizo .
    Ghafla akawa anacheza kamari ......
    Shost akaomba Talaka. Mwaka aloachika mume kachezea akashinda dk elfu 90
    Akaendalea kucheza na hizo 60 akashindikana dk elf 90 mäta ya tatu dk elf 90
    Basi UKITAKA kujua watu weusi tu napendaga mtu pesa . Shoga akaanza wtt wapewe haki . Mara akapata depression. Tafrani kisa warudiane .
    Mwanaume nae kenda kuoa sasa sijui atawapa ua ndo .u linikomesha "Nakukomesha" Pesa inaraha jamani

    ReplyDelete
  2. kweli sie wapenda pesaa
    huyo asipokuwa makini itaisha bila kujua ameifanyia nini
    awe makini nazo mana watajitokeza marafiki hata huwajui walikuwa wapi wakat huna,

    ReplyDelete