Sunday, April 30, 2017

Yaliyojiri!!!

 Joyce Joyce Joyce acha nikuache kwa Leo.,


Sometimes huwa mnamchokoza halafu akiwajibu kuwa nyie ni maboya mnapanic.,
Why care jamani khaa..,na hata kama ingekuwa kaazimwa so...
utafkiri half of you hamuazimani nguo lol.,
Kuna vitu havina hata maana kuvitilia maanani.

2 comments:

  1. Ila walioachwa ni haki yao kuwa kazini kwa vyeti feki? Mbona hakuna usawa? WaTZ kweli waoga. Ingekuwa nchi nyingine pangechimbika

    ReplyDelete
  2. wenye makosa ni wale waliowaingiza wakiwa wanajua ni vyeti feki
    ila Mungu atusaidie
    naogopa kusema mengi nisije fungwa

    kwani mtu mkiwa mashost ndio hamruhusiwi kuvaliana wabongo sijui tukoje
    da nuu uko sahihi kabisaaaa

    ReplyDelete