Hapo kwenye mahanjuhanju ndio umenifikisha, utoe na recipe in details, ila utumbo wa mamtoni bwana msafii utadhani wamesafishia bleach sisi tumezoea ule wenye nanii hahahaa yaani nikiukuta grocery store nashindwaga kununua naona kama nitakuwa nakula karatasi, nitaujaribu siku moja...CinTea
Ok tu nasubiri kwa hamu j.3. Ila camera tumia yenye mwanga mzuri. Hapo kwenu kila kitu cha giza. Furniture ,rangi za ukutani, mpk watu wanafifia.basi naumia machoo kuona dah. Weken rangi nyeupe ukuta
Hapo kwenye mahanjuhanju ndio umenifikisha, utoe na recipe in details, ila utumbo wa mamtoni bwana msafii utadhani wamesafishia bleach sisi tumezoea ule wenye nanii hahahaa yaani nikiukuta grocery store nashindwaga kununua naona kama nitakuwa nakula karatasi, nitaujaribu siku moja...CinTea
ReplyDeleteOk tu nasubiri kwa hamu j.3. Ila camera tumia yenye mwanga mzuri. Hapo kwenu kila kitu cha giza.
ReplyDeleteFurniture ,rangi za ukutani, mpk watu wanafifia.basi naumia machoo kuona dah. Weken rangi nyeupe ukuta
These were Phone pics mpenzi hahahhahahahah.,
ReplyDeleteThese were phone pics my dear Ya tecno werevaaaaaa..,hahaha
ReplyDelete