da nuu mi nimegundua kuwa bado kuna ubaguzi wa rangi kwenye nchi zilizoendelea kwa utafiti nilioufanya, we angalia hata kwenye muvi awards, music awards,chochote kile rangi nyeusi kuwepo ni mara chache sana, na tena hapo unakuta wanafanya hvyo kuondoa ile taswira ya ubaguzi ila bado upo na utakuwepo sana tu
da nuu mi nimegundua kuwa bado kuna ubaguzi wa rangi kwenye nchi zilizoendelea
ReplyDeletekwa utafiti nilioufanya,
we angalia hata kwenye muvi awards, music awards,chochote kile rangi nyeusi kuwepo ni mara chache sana, na tena hapo unakuta wanafanya hvyo kuondoa ile taswira ya ubaguzi ila bado upo na utakuwepo sana tu