Mola awakuzie shoga yake Tunda ila mnazaa wadogo dah Sijui mmejipanga na huu uk ame wa Magu na Makonda. Kinachoturudisha nyuma bongo ni kuwahi maisha na tunakuwa hatujajipanga Kimaisha . Ukikosana na bwana unabeba mtt kwa wazazi. Mila akujaalie usimame .Usijenyanyasika tukakuona ustawi wa jamii Inshaallah
Mola awakuzie shoga yake Tunda ila mnazaa wadogo dah Sijui mmejipanga na huu uk ame wa Magu na Makonda.
ReplyDeleteKinachoturudisha nyuma bongo ni kuwahi maisha na tunakuwa hatujajipanga Kimaisha . Ukikosana na bwana unabeba mtt kwa wazazi.
Mila akujaalie usimame .Usijenyanyasika tukakuona ustawi wa jamii Inshaallah
Hongereni sana wazazi mtoto ni furaha sana mjitahidi kumlea wote pamoja msitengane.
ReplyDelete