Tuesday, April 11, 2017

Mimi Hussein Mohamed Bashe nilikamatwa na watu wa Usalama,Acheni Unafki Ccm!!!

Namnukuu mbunge wa Sumbawanga;Mengine mabaya sitayaongea ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ila naogopa kukanyaga Dar es Salaam

3 comments:

  1. Yaani nampenda huyu Bashe Allah amsimamie sana. Mshikaji hataki fitna!! Straight forward!! Na warning zote lkn hataki unafiki!!

    CCM ni janga Tanzania

    ReplyDelete
  2. Hehehehehehehehehehehehehehehrhehehehehehehehehehehehrhehe Zitto Kabwe Oyeeeee

    Yaani ni aibu!!!

    Viongozi wengine hata kama walifanya walikuwa wakifanya huku wakipuliza. Ubabe mbaya jamani!!

    Sasa mweeee twakimbilia wapi siye

    ReplyDelete