ANAJISIFIA GARI WAKATI ANALALA KWAO Mnyama unga ulimmaliza .Alikuwa mzuri huyu kaka!!Anajisifia usafiri wakati bado anaishi kwao??? Angeonesha UJASIRI hata chumba kimoja tu angepanga .
Anaongeaga maneno ya maana ila yanapoteza umaana kwakuwa anajazba .
Na ngoja siku mama akifa uwiii watagombania mali hawa. Mkuu wa mkoa ndo KAKUOMBA WasafI wauze. Ila unaita wata alama ili u rudi kibibadamu . An åmot mno . Anamatatizo ya black and white
ANAJISIFIA GARI WAKATI ANALALA KWAO Mnyama unga ulimmaliza .Alikuwa mzuri huyu kaka!!Anajisifia usafiri wakati bado anaishi kwao???
ReplyDeleteAngeonesha UJASIRI hata chumba kimoja tu angepanga .
Anaongeaga maneno ya maana ila yanapoteza umaana kwakuwa anajazba .
Na ngoja siku mama akifa uwiii watagombania mali hawa.
ReplyDeleteMkuu wa mkoa ndo KAKUOMBA WasafI wauze.
Ila unaita wata alama ili u rudi kibibadamu . An åmot mno . Anamatatizo ya black and white
Baraka mashaallah unarangI nzuriii.
ReplyDeleteMungu awasimamie . Mnajielewa na heshima juu.