Friday, April 14, 2017

Yaliyojiri!!!



GOOD ONE AMBER,WE NEED THIS KINDA OF HEART!

2 comments:

  1. da nuu naomba niseme hv leo japo wengine wataniona sina akili ila ipo siku watanielewa tu
    iko hv wasichana wengi siku hz wanakimbilia kubeba mimba, wakidhani kuwa ndio staili ya kuolewa coz vijana wengi wa kiume wana msemo unasema kuwa sitaki mwanangu alelewe na baba mwingine,
    so wanajikuta wako ndani ya ndoa bila ya kupata mafunzo jinsi ya kuishi na mume
    na ndio shida kubwa iliyopo kwa sasa hapa nchini na kwngineko
    mfano huyu mama tamar angekuwa amefunzwa jinsi ya kuishi na mume asingeanika ushuzi alioandika kwenye media,

    kwa mwanaume muelewa hawez kurudi kwake ng'oooooooo kwa maneno yale aliyoandika
    narudi kwa mama, nao wamekuwa mstari wa mbele kutowafunza watt wa kike maadili mema siku hz,
    binti mdg siku anabeba mimba na hata wazazi wake hawamuuliz wala kuchukia na ndio wanamlea mjukuuu kwa kisingizio kuwa anaweza asizae uko ukubwani
    achen ujinga
    hakuna mtu mwenye mkataba na Mungu kuwa azae au lah akiwa mkubwa

    binti kutwa uko kwenye social media, utajua saa ngapi huyo unayemuita mumeo amekula, ameoga, ameenda wapi, avae nn,
    kwao hujulikani rasmi,

    mabinti si wanapenda kuiga mbona hawaigi akina rihana,niki minaji, ariane grande, taylor, mpk leo hawajazaa na pesa zote walizonazo au wao hawana vizazi
    beyonce amezaa akiwa na umri mkubwa tu tena sana na sasa hv ana mimba
    kim wanayempenda amezaa akiwa ameshaolewa
    why wadogo zake kim wasizae wakiwa wadogo? na pesa zote walizonazo

    acheni ujinga kujijengea taswira mbaya kwenye vichwa vyenu,

    ReplyDelete
  2. Suzana hii tutaweka iwe topic yenyewe km yenyewe acha nimalize easter wkend.,

    ReplyDelete