Friday, April 28, 2017

Ahsante Kwa Mwaliko Madam Florah!!

Kwa Sasa Muite Madam Florah..,,,

1 comment:

  1. Nimependa unamtanguliza Mungu. Ila madam ndoa UVUMILIVU NA KUJUA JINSI YA KUKABILIANA NA MATATIZO.
    Tunapoolewa hatujuani 100% .
    Wanaume tofauti yao ipo ndogo mno.
    Mie nimeolewa mwaka wa 14 ktk ndoa. Nimejua nini muhimu ktk ndoa.
    Marafiki "Sumu
    Kuelezea matatizo kwa watu"sumu
    Kumchanganya mume na marafiki au magrup Sumu.
    Kila la kheri



    ReplyDelete