Saturday, March 11, 2017

THIS IS VERY IMPORTANT TO WATCH,SIASA NI MAISHA YAKO YA LEO NA BAADAE!!!

Millardayo.com

4 comments:

  1. Mie sijui siasa basi inanichanganya aaĆ . Nahisi kama nimepewa mtihani na sijasoma. Sofia simba ataendelea kuwa mbunge au???
    Makonda mbona kasahauliwa

    ReplyDelete
  2. Sofia hawezi kuwa mbunge atleast sio wa ccm maana amefukuzwa kwenye chama mpenzi..

    ReplyDelete
  3. Asante Nuru!
    Daah imeniuma jamani . Tunaelekea wapiii?
    Watafika kweli waso nasauti.
    Nadhani kuna umuhimu wa Tanzania kuleta mageuzi bila hivyo . Waloshika mpini Watawamalizia wote.
    U naamka ghafla unaambiwa huna kazi.

    ReplyDelete