Nuru dear ninaombi! Wikend hii kuna event mbili moja south (polo thing) na Nigeria (award) naomba ucheck fashion part utuletee huku. Natamani watz tujifunze mawili matatu maana ni mengi tunahitaji kujifunza in fashion. Natanguliza shukrani, wako anonymous!
Suzana, kutoka kuwa na mtoto haina maana maisha hayaendelei, ni wangapi wanawatoto lakini maisha yao si kama ya Millen. Kila jambo lina makusudi yake, usilazimishe
Nuru dear ninaombi!
ReplyDeleteWikend hii kuna event mbili moja south (polo thing) na Nigeria (award) naomba ucheck fashion part utuletee huku. Natamani watz tujifunze mawili matatu maana ni mengi tunahitaji kujifunza in fashion. Natanguliza shukrani, wako anonymous!
(Nimeomba tena pliiz)
Nimeona ila nasubiri more pics usijali nimekuskia love,,ntaweka wataona
ReplyDeleteYeeeeh Asante sana... Barikiwa mno!
ReplyDeletenampenda kweli millen na namuombea kwa Mungu ampe mtt japo hata mmoja jmn.
ReplyDeleteila da nuu mi nina swali hv haiwezekani kupandikizwa mbegu akapata mtt?
Suzana, kutoka kuwa na mtoto haina maana maisha hayaendelei, ni wangapi wanawatoto lakini maisha yao si kama ya Millen. Kila jambo lina makusudi yake, usilazimishe
ReplyDeleteSuzana jamani jamani duuuuuh!!! really????? there is time for everything, muda wake ukifika mbona motto hata mapacha watatu atapata! relaaaax
ReplyDelete