Tuesday, February 14, 2017

WHERE WERE THEY ALL THIS TIME,REALLY!!!

Uhamiaji Immigration officer akiongea yaani hata kuongea properly hajui kwann hawa watrain before a pressconference,,,
SO akitoka Hospital aende Uhamiaji,,,

2 comments:

  1. Kuna mtu Ana hamu naye kweli. Hii si ya kawaida. Tutaona mwisho wake, MissY.

    ReplyDelete
  2. Wajameni kwani huko hospital kalazwa mtu au imelazwa kampuni na je anashitakiwa yeye kama mtu binafsi kuajiri wageni bila vibali au kampuni ndio imeajiri watu bila vibali? wereevaaa

    ReplyDelete