Uhamiaji Immigration officer akiongea yaani hata kuongea properly hajui kwann hawa watrain before a pressconference,,,
SO akitoka Hospital aende Uhamiaji,,,
Wajameni kwani huko hospital kalazwa mtu au imelazwa kampuni na je anashitakiwa yeye kama mtu binafsi kuajiri wageni bila vibali au kampuni ndio imeajiri watu bila vibali? wereevaaa
Kuna mtu Ana hamu naye kweli. Hii si ya kawaida. Tutaona mwisho wake, MissY.
ReplyDeleteWajameni kwani huko hospital kalazwa mtu au imelazwa kampuni na je anashitakiwa yeye kama mtu binafsi kuajiri wageni bila vibali au kampuni ndio imeajiri watu bila vibali? wereevaaa
ReplyDelete