Friday, January 6, 2017

ESPECIALLY FOR WINNIE!!!



NILITAJA WASHINDI WALIOKUWA WAKIKOMENT MNO NA WINNIE ALIKUWA MMOJA WAO SASA BAG IPI UNAITAKA YA JUU AU CHINI MAANA YA JUU NI MPYA NIMEPIGA NAYO TU PICHA ZA OUTFITS FOR THE BLOG ILA HILI LA RED NIMELITUMIA KAMA A MONTH,,NIJIBU KESHO UTAPOIONA POST HII.
SIJAWASAHAU ILA MAMBO MENGI NKIRUDI KWENYE BARIDI AKILI ITAKAA SAWA,LÖVE NURU!!!

17 comments:

  1. hi,napenda habari zako na kila siku lazima nifungue blog yako kujua kilichopo.

    ReplyDelete
  2. Uwiiiii Nuru nachanganyikiwa my dear, ya juu my dear. Nahisi kutetemeka kwa raha mama weeeeee. Winnie

    ReplyDelete
  3. Wallah Brown ya mwanzo ni Fab Fab.

    I wantttt

    ReplyDelete
  4. Winnie niambie unalipataje maana liko Bongoland...

    ReplyDelete
  5. Mi niko Morogoro sijui wewe uniambie nifanyaje, Winnie

    ReplyDelete
  6. Mimi kwani simo jamani, au nishuke Bunju niulizie kwa mpemba nikaoge...hahahahaha!!!!! Kuna mtu alinichekesha sana na hii Bunju
    AM.....

    ReplyDelete
  7. kaogee@AM....subira ina malipo dear!MWAMINI

    ReplyDelete
  8. Mungu akuongezee zaidi na zaidi kuna nguvu katika utoaji.

    ReplyDelete
  9. ha ha ha ha nenda bunju kaoge LOl! congrat winnie la juu ni zuri mnooooooo---ambutterfly

    ReplyDelete
  10. @ Bintinyota umeona ehee hun!!! 😂😂
    AM..

    ReplyDelete
  11. TANGA KUNA NI KULE MBONA KILA KITU...
    zarithebossladyIt's always the ones who claim they don't give a shit about you who stay checking up on your social media most������.... as I left Villa De Casa�� today ��

    ReplyDelete
  12. una mtu Dar Winnie nimuachie,,nijibu na nipe contact nitampatia!!

    ReplyDelete
  13. Da nuu watu washajua unatoa zawadi basi kila mtu anataka kujifanya kuwa huwa anacoments sana
    Congrats winnie

    ReplyDelete