Friday, December 16, 2016

ZIPENI CAPTION!!!





7 comments:

  1. Wanapendeza!Ila wangekuwa private kidogo, ni mtazamo wangu tu.

    ReplyDelete
  2. Mahaba nigaragaze nizamishe kama Titanic. Mmmh big sister kacharuka sio kwa mipicha hiyo rasta kweli sio wa kispoti spoti kambadilisha kabisa dada yetu, kwa maana kipindi yuko na kaka malavidavi kama haya ilikuwa nadra kuyaona. All the best the ndindindiiii...TNS

    ReplyDelete
  3. Aaah!!!
    Mungu ni mwema, hakupi kilema akakusesha mwendo.

    Waswahili husema kiza kingi, mspambazuko hukaribia.

    Kula nchi, kula raha, umeteseka sana hun!!! Wakati wako ndiyo huu.

    Mengine ni history na lessons

    ReplyDelete
  4. she is happy kwa kweli!good for her

    ReplyDelete
  5. Wanapendeza tu, wacha movie iendelee
    Am...

    ReplyDelete
  6. Yaani hapa ni toli ndiii!!!...CinTea

    ReplyDelete