Mahaba nigaragaze nizamishe kama Titanic. Mmmh big sister kacharuka sio kwa mipicha hiyo rasta kweli sio wa kispoti spoti kambadilisha kabisa dada yetu, kwa maana kipindi yuko na kaka malavidavi kama haya ilikuwa nadra kuyaona. All the best the ndindindiiii...TNS
Wanapendeza!Ila wangekuwa private kidogo, ni mtazamo wangu tu.
ReplyDeleteMwenye wivu ajinyonge.
ReplyDeleteMahaba nigaragaze nizamishe kama Titanic. Mmmh big sister kacharuka sio kwa mipicha hiyo rasta kweli sio wa kispoti spoti kambadilisha kabisa dada yetu, kwa maana kipindi yuko na kaka malavidavi kama haya ilikuwa nadra kuyaona. All the best the ndindindiiii...TNS
ReplyDeleteAaah!!!
ReplyDeleteMungu ni mwema, hakupi kilema akakusesha mwendo.
Waswahili husema kiza kingi, mspambazuko hukaribia.
Kula nchi, kula raha, umeteseka sana hun!!! Wakati wako ndiyo huu.
Mengine ni history na lessons
she is happy kwa kweli!good for her
ReplyDeleteWanapendeza tu, wacha movie iendelee
ReplyDeleteAm...
Yaani hapa ni toli ndiii!!!...CinTea
ReplyDelete