Hahahahaha mbona mumeeeee, jaman adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe sasa why utembee na mume wa mtu then wengi wao huwa hawana heshima kwa mama mwenye nyumba! Unajifaragua mpaka mwenye mali akujue why?
yani hapo ndio unamkimbiza mwanaume kabisaa. jamani usipoweza mtuliza mumeo ataenda nje na kuongopea watu kuwa hajaoa. deal with ur man. he is the source of problems
Sijaelewa Nuru.
ReplyDeletehahaahahahaha bongo kuna hatarrrr
ReplyDeleteHahahahaha mbona mumeeeee, jaman adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe
ReplyDeletesasa why utembee na mume wa mtu then wengi wao huwa hawana heshima kwa mama mwenye nyumba! Unajifaragua mpaka mwenye mali akujue why?
Nimempenda Mrs Array, kazi kwenu side chicks. Winnie
ReplyDeleteyani hapo ndio unamkimbiza mwanaume kabisaa. jamani usipoweza mtuliza mumeo ataenda nje na kuongopea watu kuwa hajaoa. deal with ur man. he is the source of problems
ReplyDeleteMwambie mume wako awache michepiko...kama kashazoea. Hao wakiondoka atatongoza wengine... Yeye ana mke michepuko ya nini.
ReplyDeleteMwanaume / Mwanamke heshimu ndoa yako... # kwani ulilazimishwa kufunga pingu za maisha.
AM...