Wednesday, November 9, 2016

MUNA SI MTU WA SPOTI SPOTI NA MME WA MTU NI SUMU WAJAMENI YAANI HII MISEMO HAHAHA!!!



6 comments:

  1. hahaahahahaha bongo kuna hatarrrr

    ReplyDelete
  2. Hahahahaha mbona mumeeeee, jaman adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe
    sasa why utembee na mume wa mtu then wengi wao huwa hawana heshima kwa mama mwenye nyumba! Unajifaragua mpaka mwenye mali akujue why?

    ReplyDelete
  3. Nimempenda Mrs Array, kazi kwenu side chicks. Winnie

    ReplyDelete
  4. yani hapo ndio unamkimbiza mwanaume kabisaa. jamani usipoweza mtuliza mumeo ataenda nje na kuongopea watu kuwa hajaoa. deal with ur man. he is the source of problems

    ReplyDelete
  5. Mwambie mume wako awache michepiko...kama kashazoea. Hao wakiondoka atatongoza wengine... Yeye ana mke michepuko ya nini.
    Mwanaume / Mwanamke heshimu ndoa yako... # kwani ulilazimishwa kufunga pingu za maisha.
    AM...

    ReplyDelete