Friday, November 18, 2016

CALISAH IS NOT PEOPLE OF SPOTI SPOTI!!!



5 comments:

  1. Re Mungu wape fahamu watoto wetu.

    Bora u jana ulinipitia
    Nikiwa naoga na Mungu
    nikiwa najitambua
    Nikiwa na ushamba
    Nikiwa muoga wa wanaume
    Sikutamani makunde wala pombe .
    Baba Mungu wabaridi wanangu wakifikia ujana wakuhofu wewe zaidi ya chochote.
    Hii ni fundisho kwa Wema asiparamie kwa kila alojazia.
    Sio wote mabondiaaa

    ReplyDelete
  2. Makubwaaaaaa he's a lady's man! Mmmm labda nikatamu kila msichana nanataka agongwe nayeee!!! Mweeee! Hahahahahaha! Sharing is caring! Waacha awadunge tuuu , why not if they all wante his "Cassava" hahahahahaha

    ReplyDelete
  3. Hiviiii why Wema anapendaga sana kupiga picha na wanaume wakiwa kutandaniiiii??? Why? It is so classless and poor taste!! Khaaa! Wanawake tunatakiwa kujisitiri na kujiheshimu wakati wooooote hasa hasa Kama unakuwa hutuliii na mwanaume mmoja!! Kila Wema anapopata mtu tunaziona picha akiwa kitandani, huwa najiuliza kwanini? Na anataka wadau tujue yupo kitandani na mwanaume kwanininiiiii??? Wana wake tujifunze kujisitiri jamaniiiii tunawafundisha nini watoto wetu, ndugu zeetu, majirani zeetu na taifa letu kwa ujumla???

    ReplyDelete
  4. Bongo safar moja inaanzisha nyngn, hv hz pic zinatoka wap jmn?

    ReplyDelete
  5. hahahah!! Not at all,
    Hivi siku izi ule ugonjwa hautishi tena, kha!! Maana hizi cheni za mjini.
    AM...

    ReplyDelete