Wednesday, October 26, 2016

BY FREDRICK BUNDALA!!!


Bongo5.com

4 comments:

  1. jaman huwa nampenda huyu kaka mpk basi
    yani hata kwa mkopo tu anioe kahh!!!!
    mana sio kwa kupenda mie
    yani kwa naijeria namuona bonge la handsom balaa kuliko, afu hanaga makuu
    da nuu naomba namba zake basi nimtwangie hata nipige tafu ya voda nitatumia
    yani kwanza akipokea simu siku hiyo silali, nitakopa mkopo bank nimfuate

    da nuu fanya unitafutie namba zake pls niko seriaz kweli

    ReplyDelete
  2. Aisee kumbe tuko wengi...napenda mziki wake, yani namkubali Wiz
    AM...

    ReplyDelete
  3. Mdau ameongea point kubwa mnooo mateam wote waelewe kura tumepiga ila kuna vigezo muhimu kwakweli ni hake yake kushinda na waliotuwakilisha Tanzania wote ni washindi na safari hii Tanzania imeonekana maana wasanii wetu wameongezeka kwenye tuzo hivyo jina linakua.

    ReplyDelete