TBT,WHEN SOMEONE DECIDED TO OPEN AN ACCOUNT POSING AS ME,SIJUI BADO IPO!!!
Alikuwa akikopi kila ninachopost Facebook na kukipost Instangram
Maybe he or she did it out of love but it still does Not make it right,,
HII was siku kadhaa baada ya kuifungua,,oh Walimwengu!!๐๐
Sijaelewa watu wanafaidika nini kwa kufanya hivyo hebu nifafanulie kidogo kama unajua, maana watu wengi sana wanafungua fake accounts za watu
ReplyDelete