Nasikia harufu ya ANKARAA!!!! Pumzi ndogo ruti ndefu...... Kaburi halihitaji mbwembwe ndo maana hawaweki AC..... woiiii Nuru umenikumbusha mbali. Wimbo wangu wa kwanza wa Hiphop nilioukariri mashairi mbutaaa.
Halafu zamani wasanii mlikuwa na umoja flani hivi amazing naona majina kibao humu mmewapa sapoti AY na FA
Nasikia harufu ya ANKARAA!!!! Pumzi ndogo ruti ndefu...... Kaburi halihitaji mbwembwe ndo maana hawaweki AC..... woiiii Nuru umenikumbusha mbali. Wimbo wangu wa kwanza wa Hiphop nilioukariri mashairi mbutaaa.
ReplyDeleteHalafu zamani wasanii mlikuwa na umoja flani hivi amazing naona majina kibao humu mmewapa sapoti AY na FA
N.K
Yes times were very different then,,
ReplyDeleteGood old memory.tumezeeka wallah!mwamini
ReplyDelete