watu wengine bana wanapenda umaarufu kunuka sasa hapo ndio nini, utadhani kafungwa kwa kamba za katani bana, sura utazani anakunya miba mmfyuuu!!!!!!!!!!! kamekomaaa utadhani anatoka milima ya uluguru bana
duuu hizi kick ni hatari. ifike mahali wanawake tujiheshimu. miili yetu ipo kwa ajili ya watu maalumu ambao ni mume wako na sio watu wengine kwenye mitandao ya jamii. mwanamke shurti kujisitisi. Ndio maana cku hizi kupata mume wa kuoa ni tabu sana maana mwanaume anakua ameshakuona mwili wako wote na ameshaukinai. lakini ukiwa unajisitiri anakuwa anakutamani kila cku.
watu wengine bana wanapenda umaarufu kunuka sasa hapo ndio nini, utadhani kafungwa kwa kamba za katani bana,
ReplyDeletesura utazani anakunya miba
mmfyuuu!!!!!!!!!!!
kamekomaaa utadhani anatoka milima ya uluguru bana
duuu hizi kick ni hatari. ifike mahali wanawake tujiheshimu. miili yetu ipo kwa ajili ya watu maalumu ambao ni mume wako na sio watu wengine kwenye mitandao ya jamii. mwanamke shurti kujisitisi. Ndio maana cku hizi kupata mume wa kuoa ni tabu sana maana mwanaume anakua ameshakuona mwili wako wote na ameshaukinai. lakini ukiwa unajisitiri anakuwa anakutamani kila cku.
ReplyDelete