Jamani wasanii kwa wasanii hawapendani kwa kweli, hakuna aliempongeza katika instagram zao zaidi ya shilole loo ingekuwa udaku wema ana mkongo wangetafuta ya kusema jamani hebu onyesha upendo na kumpa mwenzenu hope hata kama humpendi, huwezi jua kesho na keshokutwa anweza kuja wasaidia na wengine wekeni uadui pembeni mnapoona msanii au mwanamuziki anatambulika kwa mazuri na kuwafungulia njia wengine, watu ni birthday ya Cookie na vijembe tu. Wanawake kweli hawapendani adui yako ni mwanamke mwenzio kwa kweli lol. Hongera sana Madam. Nuru una moyo wa Peke yako wewe mdada Mungu akubariki kwa moyo wako.
Jamani wasanii kwa wasanii hawapendani kwa kweli, hakuna aliempongeza katika instagram zao zaidi ya shilole loo ingekuwa udaku wema ana mkongo wangetafuta ya kusema jamani hebu onyesha upendo na kumpa mwenzenu hope hata kama humpendi, huwezi jua kesho na keshokutwa anweza kuja wasaidia na wengine wekeni uadui pembeni mnapoona msanii au mwanamuziki anatambulika kwa mazuri na kuwafungulia njia wengine, watu ni birthday ya Cookie na vijembe tu. Wanawake kweli hawapendani adui yako ni mwanamke mwenzio kwa kweli lol. Hongera sana Madam. Nuru una moyo wa Peke yako wewe mdada Mungu akubariki kwa moyo wako.
ReplyDeleteAhsante mdau n the same to you,bless
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeleteNuru the light habagui mtu au maendeleo ya mtu saf sana mdada
ReplyDeleteyes nuru ur the best dear dont ever change
ReplyDelete