Monday, September 14, 2015

NAYTRUEBOY SAID!!!



3 comments:

  1. Mbona mabadiliko
    Mbona hujui kusoma hata picha huoni
    Mie sina Chama na sijui kaa ntapiga Kura kikweli nshajichokea
    Ila maendeleo mabadiliko mengi nimeyaona wakati wa Kikwete
    Barabara
    Shule
    Hospital
    Na hata mwonekano wa Tanzania kwa sasa ule wa zamani
    Jag vill välja CCM men jag vet inte om jag ska göra det eller!

    ReplyDelete


  2. Du ska välja det ditt hjärta känner för,,
    om det blir CCM eller annan parti är det upp till dig,,
    din röst är ditt val och ingen annans,,

    ReplyDelete
  3. sipendi mambo ya siasa, ila two major things zinanikera mnoooooo

    1) huduma ya afya! huna hela unakufa ukijiona

    2) elimu, jamanituko nyuma kuliko nchi zoto Africa mashariki.

    bila kusahau tanesco , wananichefua sana.

    na appreciate sana shule za kata but msingi bora ndio mabo yote shule za masingi elimu zero!

    ReplyDelete