Monday, June 15, 2015

SPORAH NJAU#LUXURY HAIR#TREASURE#WIGS#LAUNCH#UNITEDKINGDOM!!!













8 comments:

  1. eh jamani nyie kinadada weusi na hizi nywele feki mnakaa kama vile mmechimbuliwa toka kwenye mashimo. Kwanini hamzipendi nywele zenu natural? I wish ningeweza kuwaambia hii miwigi inawafanya mnakaa kama misukuri. Kaeni na nywele zenu natural, mnaweza kuzikata zikawa fupi na kuonekana vere smart kuliko hii mizinga mnayovaa vichwani, tena inawachakaza sana mnaonekana kama vijibibi vizee vilivyokuwa vikiishi mashimoni. Nuru please naomba uiposti hii, simkashifu mtu yoyote in particular ila huwa naumia roho nikiona waafrika wanavyojitundika hii mitungi kila siku.

    ReplyDelete
    Replies
    1. We NAWE HUNA HELA TUACHIE WENYE NAZO TUNUNUE LACEWIG . HATA WENYE NAZO WANAPNGHEZEA SEMBUSE SIE WATANZANIA ZIKIREFUKA MBELE NYUMA ZINAKSTIKA . NA KIPILIPILI JUU.
      Hulazimiswi we pita soma biashara usicomment .

      Delete


  2. KAKA TUNASHKURU KWA MCHAMBO WA MWAKA HAHAHHAHAHAHAH

    ReplyDelete


  3. KAKA TUNASHKURU KWA MCHAMBO WA MWAKA HAHAHHAHAHAHAH

    ReplyDelete


  4. Na atuacheeeeee kwa raha zetu my head my choice,,,,hahahahhahahh

    ReplyDelete
  5. Mweh!!! hahahhahahahaha! Ya leo kali, Mimi kama mwanamke Aisee lakini kweli kuna wengine wanajaza sana minywele
    Kama ndugu zetu wa Nigeria, hallooooooo
    AM

    ReplyDelete
  6. It's true,,,unajua kabisa mtu ni black then anavaa/kuweka manywele mpaka mgongoni...halafu basi bonge la blonde!!! At least basi uweke color yako ambayo iishie mabegani kuliko mapaka makalioni...nomaaaaaa!!Au kuweka minywele mingi hadi kutembea anabadilisha mwendo kwa uzito ulio kichwani...

    ReplyDelete

  7. I AGREE kuna watu wanahitaji msaada kujua rangi gani na nywele gani zinawafaa maana jana nimemuona mtu ile nywele yaani sikujua hata nireact vipi halafu ulaya oh god,,
    but hair does alot na zinaweza kukukuza na kukupendezesha ama kukuangusha sasa hapo the choice is yours,,

    ReplyDelete