Simama kwenye kile unachokiamini zaidi my dear, kama mavazi ni kigezo basi hata kim kardashian hafai kulea mtoto. msitoke povu lakini ukweli ndio huo wamama wenyewe kutwa kuchoma moto watoto wa wenzao, akuu Faiza pigania kilicho haki yako ulee mwanao. hata ukivaa vizuri vipi kama wa kuharibika ataharibika tu. kila la heri my dear
All the best girl!
ReplyDeleteSimama kwenye kile unachokiamini zaidi my dear, kama mavazi ni kigezo basi hata kim kardashian hafai kulea mtoto. msitoke povu lakini ukweli ndio huo wamama wenyewe kutwa kuchoma moto watoto wa wenzao, akuu Faiza pigania kilicho haki yako ulee mwanao. hata ukivaa vizuri vipi kama wa kuharibika ataharibika tu. kila la heri my dear
ReplyDeleteI am a mom of two nd I will die if one of my kid is taken away from me. what happened to this Lady? I wish you all the best Faiza.
ReplyDeleteGo Faiza, Mungu atakuongoza, kina Beyoncé wenyewe si kwambii Obama wanaenda beach na vichupi.
ReplyDeleteHana jipya, Asitumie cheo chake kukunyanyasa. Nimesikitika sana.
AM