JOYCE KIRIA SAID!!!
kiukweli Nimejifunza kutumia kila fursa inayokuja mbele yangu kupitia kwa mwanadada #Zariπ yaani nina project kadhaa nimekuwa nazichukulia poa sana, yaani kweli shule ni muhimu jamaniπ©π©π©π© nimedharau baadhi ya fursa ilihali hizo project zingetosha kuniingizia kipato flani amaizing uuuuuuwiiππππ so nina hasira mbayaaaaaaaa nafufua zile mambo zooote nilikuwa nazichukulia poaππππ kama una kitu ulikuwa unakichezea chezea i mean unakidharau kiaina acha mara moja maana hiyo ndo fursa yako!!!! hata kama inakuingizia cent moja✌✌Goodmoning my fam, #beInspired #tuigeMazuri #tukubaliUkweli#tuacheChuki
No comments:
Post a Comment