Thursday, March 26, 2015

LADY JAYDEE SAID!!!


Kupitia ukurasa wake wa Instagram, mwanadada Lady Jay Dee amepost picha ya majeneza mawili ambayo angependa mojawapo azikwe nalo na kuandika hivii;

"I've changed my mind (Nimebadilisha mawazo)
Sitaki tena lile la purple 
Moja kati ya hayo hapo juu 
#MsiMind
#KilaMtuAtakufa
#Msiogope
Nilikuwa nafikiria pia iwe invitees only (akimaanisha kwa watakaoalikwa tu)
#SitakiKufunuliwa"

SOURCE;EATV FACEBOOK PAGE

No comments:

Post a Comment