Monday, December 23, 2013

MKASI WITH RAY C!!!


1 comment:

  1. MUNGU ATAKUBARIKI HAKUNA KINACHOSHiNDIKA UKIAMUA MWENYEWE.
    kuhusu kuomba msamaha watanzania USIOMBE kama ulivyo jisemea
    Tukumbuke kuna vitu sie binadamu tunavifanya bila kujua matokeo.haijalishi unakatazwa au la Mie mtoto wa rafiki yangu ni Doctor na yuko chakari .Tena hanunui nadhani alikua anakula za usingizi.Nadhani wauzaji na PUNDA ndo wangepata adhabu kali,Ije ya kunywonga au kukatwa mkono tena ipitiswe dunia nzima naamini madawa yatapungua.Watu wanafurahi na utajiri hawaumii na jinsi wengine wanavyoteketea .
    MUNGU WAUMBUE WOTE WABEBAJI NA WAUZAJI HAPA HAPA DUNIANI

    ReplyDelete