Monday, September 2, 2013

KENNY FRANCIS!!!!

 AM LOVIN THE SHOES,,

8 comments:



  1. hahahahah kiushamba zaidi imagine umepoteza mda kuandika hiyo comment uliona ukimpa kapendeza atapungukiwa,,fashion hujui na ushamba juu.com,,si majanga hayaaa wakati kapozi na mwanae yaani hata picha huoni!!!poyeeeeee

    ReplyDelete
  2. walaa Nuru usimtetee ni kweli kiatu kimemfanya aonekane mchoko !

    ReplyDelete
  3. Hivyo viatu...www.kiuchoko.com

    ReplyDelete
  4. Kapendeza jamani. Kaka umependeza. Nuru the light daima!! Nancy elia wa daruu

    ReplyDelete


  5. NANCY USIBISHANE NA WASHAMBA.COM,,
    KAKA ANAJUA PAMBA HATAREE NA WASHAMKUBALI KIMYA KIMYA WAMEONA WAMPONDE VIATU HAHAHAHAH DAYMMMN!!

    ReplyDelete
  6. Huyu kaka tokea umeanza kumuweka kwenye blogu yako..anavaa balaa na ninamkubali
    Ila kwa hili da nuru niite mshamba hivyo viatu ni ngumu sana kuelewa kama ni vya kiume.

    ReplyDelete