FRAME UNAWEZA IFANYA IKAWA DUKA O WATEVA YOU WANT.I WAS SO LUCKY WAKATI NAPATA SEHEMU YA MY KA-PLACE THE LIGHT NIKAPATIWA NA HII FRAME NEARBY SASA KWAVILE ALOKUWEPO AMABAYE NILIMKODISHA MIMI ANAMALIZIA MDA WAKE NA ANAENDA KUFANYA BIASHARA TOFAUTI SO HAHITAJI FRAME TENA SO I THOUGHT KWANINI NISIMKODISHIE MTU WAKATI MIMI SIPO TANZANIA KURAHISISHA NTAPEWA HELA YANGU NA YEYE ATAFANYA ANACHOTAKA.EMAIL ME THOUGH MAGRAMARY@GMAIL.COM!!!
nuru hyo ukijaivalia huku bongo omba usikutane na wajeda utarushwa kichura mpaka uombe poo!
ReplyDeleteyou make my heart beat fast for that army pants kwa kweliii...its nice & scorching Nuru.
ReplyDelete
ReplyDeletesasa mwaka jana fiesta nlivaa bass barabarani tukakutana nao ila nlikuwa nimevaa jacket not pants hahaahahahh waliniachia vile msanii halafu skuwa nimevaa mm tu peke yangu,,
wajeda mama yangu ntakufaa na kichura,,
thanks anon nr2!!!lol anon wa kwanza neno la wajeda i dieeee hahah
Nuru hiyo pub yako mbona huwa husemi ipo wapi? (Inawezekana me mwenyewe ndo sijui). Uwe unatoa location ili kama kuna watu watapenda kupatembelea wapajue... biashara matangazo (mtazamo wangu tu)
ReplyDelete